Thursday, June 1, 2017

SEMA KWELI - Tulifikaje na Tunatokaje kisheria




Dr. Rugemeleza Nshala, Mkurugenzi Mtendaji wa Timu ya

Wanasheria Watetezi wa Mazingira kwa Vitendo (LEAT),

amezungumzia suala la Makinikia katika kipindi cha "Sema Kweli"

kilichorushwa tarehe 31.05.2017, saa nne (4) usiku kupitia 

Chanel 10.


Hii ni kutokana na Ripoti ya kamati maalumu ya Rais wa Jamhuri

ya Muungano wa Tanzania juu ya uchunguzi wa kiwango cha

madini.


Dr.Nshala akiwa kama Mwanasheria aliyebobea kwenye masuala

ya mazingira, analizungumzia suala la Madini kwa upana wake. Na 
kuelezea tumefikaje hapa tulipo na tutatokaje kisheria.

Lengo ni kuisaidia nchi, serikali yetu na pengine kumshauri Mhe. 

Rais namna ya kutoka hapa tulipo.



Tafadhali fungua video hapo juu kufuatilia kipindi hiko

No comments:

Post a Comment