Thursday, May 25, 2017

Tamko la LEAT juu ya Ripoti ya Kamati Maalum ya Rais kuhusu Mchanganyiko wa Madini katika Makontena.

Timu ya Wanaseheria Watetezi wa Mazingira kwa Vitendo 
(LEAT) Imetoa tamko juu ya Ripoti ya Kamati Maalumu ya Rais juu ya Mchanganyiko wa Madini (Makinikia) katika Makontena yaliyozuiliwa bandarini.

Kwa kifupi LEAT haishangazwi na kile kilichobainika kwani 
ni kile ilichokuwa inakisema miaka yote tokea mwaka 2001. 
LEAT inataka mabadiliko makubwa katika sekta za mafuta, gesi na madini kwani sheria zinazoziongoza zinaruhusu kuporwa kwa rasilimali hizi muhimu za nchi.


Fungua link hii kusoma Tamko hilo.


No comments:

Post a Comment