Monday, September 29, 2014

NOTIFICATION FOR OFFICIAL EMAIL CHANGE

Dear Followers, LEAT wishes to inform you that we have changed our official email from info@leattz.org to info@ leat.or.tz. This is due to change in website domain which is currently www.leat .or.tz. We are sorry for any inconveniences caused due to this act.
Keep in touch

Thursday, September 25, 2014

KAMATI ZA VIJIJI ZA MAZINGIRA ZAFUNZWA JUU YA USIMAMIZI WA MALIASILI KUPITIA UFUATILIAJI UWAJIBIKAJI JAMII.

KAMATI ZA VIJIJI ZA MAZINGIRA ZAFUNZWA JUU YA USIMAMIZI WA MALIASILI KUPITIA UFUATILIAJI UWAJIBIKAJI JAMII.


Timu ya wanasheria watetezi wa mazingira (LEAT) kupitia mradi wa Ushiriki wa Wananchi katika Usimamizi wa Maliasili ( CEGO-NRM) ambao upo chini ya Ufadhili wa Shirika la maendeleo la misaada la watu wa Marekani (USAID) inaendesha mafunzo ya Usimamizi wa Maliasili kwa kupitia dhana ya mfumo wa Ufuatiliaji wa Uwajibikaji jamii

 (UJJ/SAM) katika mkoa wa Iringa, wilaya mbili za Iringa vijijini na Mafinga.

Mafunzo yalianza mnamo mwezi wa nane na yataendelea hadi mwezi wa kumi mwaka 2014. Walengwa wakuu wa mafunzo haya ni Kamati za Mazingira za vijiji kama vile kamati za maliasili, kamati za maji, kamati za matumizi bora ya ardhi, kamati za mipango na fedha, baraza la ardhi na kamati nyingine zinazohusika na mazingira vijijini.

 Hadi sasa LEAT imeweza kuzifikia kamati hizi na kuwapatia mafunzo ambapo mpaka sasa Katika wilaya ya Iringa vijijini LEAT imeweza kuifikia kata ya KIwere na Idodi ambapo  katika kata ya Kiwere wkamati za mazingira za vijiji vya kiwere, Mfyome,Kitapilimwa na itagutwa vimenufaika na mafunzo haya, vilevile katika kata ya Idodi kamati za vijiji za Tungamalenga, idodi zimefikiwa na kuelimishwa wakati kijiji cha Kitisi kikitegemea kufikiwa na Mafunzo haya mwanzoni mwa mwezi wa kumi.

Kadhalika katika wilaya ya Mafinga LEAT imekusudia kuzifikia kata Mbili ambazo ni Igombavanu na Saadani ambapo mpaka sasa LEAT imeweza kuvifikia vijiji vya Igombavanu, uhambila Lugoda lutali na Tambalang’ombe katika kata ya igombavanu wakati katika kata ya Saadani LEAT imeweza kuvifikia vijiji vya Kibada,Mapogolo wakati kijiji cha utosi kikitegemea kufikiwa mwanzoni mwa mwezi wa kumi.

Mafunzo haya yamelenga kuwafikia angalau wajumbe 35 wa kamati za Mazingira kwa kila kijiji na lengo kuu la mafunzo haya ni

 I. Ni kuijengea uwezo jamii kufahamu mwelekeo sahihi wa uwajibikaji jamii.

 II. Kuelewa dhana ya mfumo wa uwajibikaji jamii katika usimamizi wa misitu na wanyamapori.

  III. Pia kuelewa hatua tano za mchakato wa mfumo wa uwajibikaji jamii ikwa ni pamoja na mpango wa mgawanyo wa rasilimali, usimamizi wa matumizi, usimamizi wa uadilifu na usimamizi wa uangalizi.

 Vilevile mafunzo ya ufuatiliaji na usimamizi wa uwajibikaji wa jamii yanalenga kuongeza uelewa juu ya zana za uwajibikaji na usimamizi wa jamii kwa kufuatilia kila hatua ya mchakato.

 Hivyo basi ufualiaji wa uwajibikaji jamii unawezesha watoa huduma kwa jamii kutoa ufafanuzi, uthibitisho na uhalalisho juu ya mgawanyo wa raslimali za umma, utekelezaji wake na ufanisi/utendaji wake. Lengo ni kuhakikisha kuwa viongozi wa serikali pamoja na watoa huduma wote wanawajibika na wanawajibishwa ipasavyo pale wanaposhindwa kufikisha huduma muhimu kwa jamii kama walivyoorodhesha katika mpango mkakati, Mpango mwaka na bajeti ya Mwaka ili kuweza kufikia haki za msingi za binadamu/mwananchi.

 

                       TEN JOURNALISTS TRAINED ON EXTRACTIVE INDUSTRIES

 Under TMF- lEAT extractive industries fellowship for journalists program 2014 10 fellows were trained on extractive industries

This fellowship program funded by Tanzania media fund aimed at increasing the capacity of 10 fellows on the extractive industry by equipping them with critical knowledge on mining industry and oil and gas exploration and production structure enabling them to deliver quality print articles and stimulate debates or reactions from the public and policy makers based on the published articles. this was a six months fellowship aimed at building capacity of 10 Journalists fellows on extractive industry during the six months of the fellowship, enabling them to generate quality print articles on extractive industry during the five weeks of fieldwork and 7 seven weeks after fieldwork as well as engendering change in the society through increased public awareness in well-informed debates between members of the public and policy makers during the fellowship program and soon thereafter.

The training was typically based on, the political economy of the extractive industries; the policy and legal regimes of extractive industries in Tanzania; institutions governing the extractive industries in Tanzania;

bilateral investments treaties and international investment dispute settlement mechanisms; the tax regime on the extractive industries in Tanzania; fiscal tools in international petroleum agreements (IPA), oil and gas exploration and production, natural resources governance reporting tools for journalists; environmental management policy and legal frameworks for extractive industries as well as cosmetics reforms in the mining industry in sub-Saharan African countries.

LEAT together with the donor TMF believes that Journalists trained under this fellowship program will accentuate on knowledge sharing to other journalists that have not benefited from this program and they will use the knowledge to deliver quality print articles and stimulate debates or reactions from the public and policy makers based on the published articles for the benefit of the Tanzania Community.

 

Tuesday, September 23, 2014


SAM TRAININGS INSTIGATED ACCOUNTABILITY TO VILLAGE ENVIRONMENTAL COMMITTEES IN IRINGA RURAL DISTRICT.
Lawyers Environmental Action Team (LEAT) with the assistance from USAID organized and conducted a 7 days training sessions on introduction of Social Accountability Monitoring (SAM) concept and its methodologies to Village Environmental committees in Kiwere Ward, Iringa Rural district. The main objectives of the training was to build the capacity of the identified VEC members to conduct SAM on the Natural resources sector with an expectation that the village Environmental committees was to be an agent of change  at the village, ward and district level after being conversant with SAM in NRM sector.

The training drew up  at least seven (7) committees  which gives a total number of 35 participants including,  Village Natural Resources Committee ( VNRC),  Village Water Committee( VWC), Village and Council (VLC), Village Land use Committee (VLUC), Village Planning and Finance Committee (VPFC), Religious representatives as well as Elders representatives in the  village and during the following topics were  detailed elaborated , introduction to SAM and the five processes of SAM system/ cycle.

Accountability began to appear soon after the training where some of the Committee began to evaluate their performance, A good example is when the LEAT team followed up to assess the immediate post-training results or action taken they found the existing meeting session at Kitapilimwa village, Kiwere ward whereby the Village council were making evaluation of their performance. Kitapilimwa village received a training on 1st to 7th September 2014 and the meeting was held on the 10th September 2014 Just 3 days after the training. The meeting session aimed at evaluating the performance of the Village council, looking at their weaknesses and developing strategies to tackle these limitations so as to ensure accountability and access to justice and basic human rights.

The meeting consisted of the Kiwere Ward councilor, Kitapilimwa Village chairman, Chairman of the planning and finance committee, Village Executive Secretary, Members from Natural resources committee, land use committee as well as other members from other committees.

Kitapilimwa village council promised to hold accountable all officials who noted not to be performers, all officials that are not integral and also promised to involve all citizens in the village of Kitapilimwa in the planning stage exactly at the point of floating priorities.